Jeremiah 31:6-7

6 aItakuja siku wakati walinzi watakapowapigia kelele
juu ya vilima vya Efraimu wakisema,
‘Njooni, twendeni juu Sayuni,
kwake Bwana Mungu wetu.’ ”
7 bHili ndilo asemalo Bwana:

“Mwimbieni Yakobo kwa furaha,
mpigieni kelele aliye mkuu wa mataifa.
Zifanyeni sifa zenu zisikike, nanyi mseme,
‘Ee Bwana, okoa watu wako,
mabaki ya Israeli.’
Copyright information for SwhNEN